Jumamosi, Machi 11, 2017

MADAKTARI WA TANZANIA WAGOMA KUAJILIWA KENYA

Madaktari nchini Tanzania hapo jana ( Ijumaa) walikataa mpango na serikali ya Kenya kuwaajiri hili kujaza pengo iliyoundwa na madaktari amabo wako kwa mgomo nchini umo.
Elisha Osati, Mwenyekiti mteule wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), alisema kinyume na hatua hiyo, akisisitiza kwamba walikuwa tayari tu kwa hiyo hatua baada ya mgomo kumalizika na si sasa.

0 comments:

Chapisha Maoni