Jumatatu, Aprili 04, 2016

RAIS MAGUFULI AMEAHIRISHA MAADHIMISHO YA SIKU KUU YA MUUNGANO TANZANIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John  Magufuli ameahirisha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Muungano na badala yake akawataka Watanzania waiadhimishe wakiwa majumbani au wakiwa katika shughuli zao binafsi. Siku hiyo huadhimishwa tarehe 26 Aprili kila mwaka.

0 comments:

Chapisha Maoni