Jumatatu, Januari 18, 2016

WAHARIRI WA MAWIO WAJISALIMISHA POLISI

Mhariri mtendaji wa Mawio, Simon Mkina na Mhariri Jabir Idrissa wamejisalimisha polisi, wamehojiwa chini ya Mwanasheria wao Fredrick Kihwelo.
Wahariri walijisalimisha polisi saa 9 jioni na kuanza kuhojiwa mpaka muda wa jioni walipomaliza. lakini wamenyimwa dhamana na leo tarehe 19 watafikishwa mahakamani.

0 comments:

Chapisha Maoni