Kufuatia maagizo ya serikali, Naibu waziri wa wizara ya mambo ya ndani ya nchi, mhe. Hamad Yusuph Masauni amefanya ziara ya kikazi katika Makao Makuu ya Uhamiaji na kutoa maagizo yafuatayo;
Pili. Ameagiza uchunguzi wa kina ufanyike ili kuwabaini wahusika walotumia vibaya utaratibu wa utoaji vibali vya ukaazi vya muda (CTA), kwa kuwapatia wasiohusika, kuvitoa kiholela na kushindwa kufuatilia mpaka kupelekea kufutwa kwa vibali hivyo, na kuathiri mapato pamoja na kusababisha usumbufu kwa wageni wanaokuja nchini kwa shuhuli muhimu za muda mfupi na kuwachukulia hatua watumishi hao ambao si waaminifu ili utaratibu mpya unaoandaliwa uweze kuleta ufanisi.
Na 3. Ameagiza mchakato wa kuanzisha Mahakama ya kijeshi uharakishwe ili wezi na wala rushwa waweze kushuhulikiwa kwa haraka.



0 comments:
Chapisha Maoni