Jumamosi, Januari 16, 2016

MATOKEO LIGI KUU SOKA TANZANIA BARA LEO

Mechi zilizochezwa leo katika viwanja mbali mbali vya Tanzania katika ligu kuu soka Tanzania Bara

Simba SC 1-0 Mtibwa Sugar
JKT Ruvu 1-5 Mgambo JKT
Toto Africans 0-1 Prisons
Stand United 1-0 Kagera Sugar
Mbeya City 1-0 Mwadui FC
Coastal Union 1-1 Majimaji
Azam FC 1 Vs African Sports 1.

Mechi zitakazochezwa kesho katika viwanja mbali mbali vya Tanzania katika ligu kuu soka  Tanzania Bara

Yanga Afrika Vs Ndanda SC.
Matokeo ya ushindi kesho yatatufanya tuongoze ligi.

0 comments:

Chapisha Maoni