Jumatano, Oktoba 22, 2014

DIAMOND AWAPELEKA POLISI MADANSA WAKE, MWENYEWE YU NJIANI

Madansa wa Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinum wamekamatwa leo na wapo Kituo cha polisi cha Oyster Bay, Dar kwa kuvaa sare za JWTZ.
Wakati huohuo polisi  wanaendelea kumtafuta bosi wao, Nasibu Abudul ' Diamond Platinumz' kwa mahojiano naye kwa kuvaa sare za Jeshi hilo katika Tamasha la Serengeti Fiesta, lililofanyika Leaders Club, Dar usiku wa kuamkia Jumapili iliyopita.
Meneja wa  Diamond, Babu Tale, hakupatikana kuzungumzia suala hili, juhudi za kumtafuta zinaendelea.

0 comments:

Chapisha Maoni