Alhamisi, Agosti 28, 2014

MKURUGENZI TBS JELA MIAKA 3

Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu DSM, imemhukumu kwenda jela miaka 3 aliyekuwa mkurugenzi wa TBS Bwana Charles Ikerege baada ya kukutwa na hatia katika makosa yaliyokuwa yakimkabili, ikiwa ni pamoja na matumizi mabaya ya Ofisi.

0 comments:

Chapisha Maoni