Jumanne, Julai 01, 2014

UNAVAA KIKUKU MGUUNI? UNAJUA MAANA YAKE?

Vikuku ni tamaduni za kiafrica. ni urembo wa kupendezesha kiungo kama kuvaa cheni shingoni, helen sikioni, pete kidoleni, bangili mkononi, kipini puani shanga kiunoni na kikuku mguuni, mbona tukivaa shingoni hawasemi?? kwani mguu ni sehem ya siri hadi kusema ni vibaya, mimi nafikiri ni fikra za watu tena fikra potofu, mimi napenda sana na ninavaa, siku nikivaa gold heleni na cheni basi napiga kikuku cha gold siku nikivaa silver heleni na cheni napiga kikuku cha silver siku niamua kuvaa culture, basi hata kikuku kinakuwa culture yote hiyo ni kupendezesha mwili wangu kama mwanamke.
tukiangalia ktk kabila la wamasai, hadi wanaume nao wanavaa tena ni wote, sasa je nao wale wote wanatumia tigo????? acheni fikra potofu watanzania, lile ni pambo msilitafsiri kiviile.
Lakini mtaani wanasema ni biashara ukivalia kulia straight ila hautoi tigo , kushoto tigo posibility and miguu yote anything goes

1 comments:

  1. USHUHUDA WA JINSI NILIYOPATA MKOPO WANGU $300,000.00USD KUTOKA KWA KAMPUNI YA FEDHA WIKI ILIYOPITA Barua pepe kwa jibu la haraka: drbenjaminfinance@gmail.com

    Je! Unahitaji mkopo kuanza biashara au kulipa deni yako {Dr.Benjamin Scarlet Owen} pia anaweza kukusaidia na ofa ya mkopo halali. Pia amesaidia wenzangu wengine na fedha za mkopo. Pata kadi yako ya ATM tupu au Kadi ya CREDIT ulete kwa mlango wako ambao unafanya kazi katika mashine zote za ATM ulimwenguni kote kwa msaada wa BENJAMIN FEDHA YA MKOPO kadi za ATM zinaweza kutumiwa kutoa kwenye Mashine za ATM au swipe, kwenye maduka na POS. hutoa kadi hizi kwa wateja wote wanaovutiwa ulimwenguni, Ikiwa unahitaji mkopo bila gharama / mafadhaiko yeye ndiye mkopeshaji wa mkopo sahihi ili kufuta shida zako za kifedha na shida leo. FEDHA YA MIKOPO YA BENJAMIN inashikilia habari yote juu ya jinsi ya kupata pesa haraka na bila uchungu kupitia WhatsApp +19292227023 Barua pepe drbenjaminfinance@gmail.com

    JibuFuta