Jumatano, Julai 09, 2014

MAADUI WATANO WA MAXIMO TANZANIA

ADUI watano ambao watampa shida kubwa Kocha wa Yanga, Marcio Maximo kutoka Brazil, wametajwa na wengine wamo ndani ya Yanga na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Wachambuzi watatu maarufu wa soka nchini, Edibily Lunyamila, Bakari Malima na Saleh Ally, wameeleza kuwa, adui hao kwa Maximo ni viwanja vibovu, waamuzi wabovu, hujuma, uzalendo mikoani na presha ya Simba.

0 comments:

Chapisha Maoni