Jumatatu, Juni 09, 2014

HUU NI UTHIBITISHO KWAMBA PENNY NI WIFE MATERIAL KULIKO WEMA SEPETU

Amakweli mapenzi yananguvu zaidi ya BREKI DAUNI....Mara kadhaa Bwana mdogo  Diamond mara baada ya KUMPIGA CHINI  Wema Wa Sepetu...kwenye INTAVYUU mabalimbali alikuwa anasema Wema SIO, Majanga kibao ya kumfumumania GESTI na Vijamaa....Hadi MAPEDEJEE walikuwa wanakula...LAKINI leo Dogo Wapi...Ushauri wangu kama Mdogo wangu...Kweli mapenzi yana nguvu lakini Dogo UMEPOTEA NJIA na najua hauwezi KUKUBALI leo But Kesho.
Kwamaoni yangu Mtoto Penny alikuwa ndio mtu waku kufaa na ana HADHI ya kuwa MUKE (ulishawahi kuthibitisha hili kuwa anatabia na kila kitu yupo vizuri) kulizo huyo......... Haya ni maoni tu..na hii kwasababu wewe ni STAA (ungebaki Tandale tusinge ku-DISKASI hapa)
Weka mabali TEAM yako...Toa maoni kama Diamond ni NDUGU yako au Rafiki yako.

0 comments:

Chapisha Maoni