Alhamisi, Mei 08, 2014

UFUSKA WAMNYIMA NORA DILI NONO

Msanii mkongwe wa filamu Tanzania Nuru Nassoro 'Nora' amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukosa dili za kazi za maana kutokana na tabia za kifuska kwa baadhi ya wasanii wa kike wa Bongo Movie.

Nora alisema amekuwa akitembelea katika ofi si mbalimbali na kila anapojitambulisha kwamba ni msanii wa filamu watu wanashtuka na sehemu nyingine anakosa dili za maana kutokana na uchafu wa baadhi ya wasanii hasa wasagaji na wanaojiuza.
Yaani naona aibu sana kujitambulisha kwenye ofi si za watu kwani kila ninakoenda na kujitambulisha watu wanaanza kunong’ona huku wakidai kwamba wasanii wa kike wa fi lamu wana tabia chafu wakati tunachafuliwana watu wachache tu wasiojiheshimu
alisema Nora.

0 comments:

Chapisha Maoni