Jumapili, Mei 18, 2014

NGOMA MPYA YA ADM NA PNC IKO HAPA 'BASI NJOO' UNAWEZA KUISIKILIZA NA KUIDOWNLOAD HAPA-HAPA

PNC kwa mara nyingine tena ameonesha uwezo wake baada ya kushirikishwa na jamaa kutoka mkoani Mbeya , ADM, ngoma inaitwa basi njoo, chukua time yako kuisikiliza na hautojutia muda wako...ni kutoka studio za Baoda Records pande za Tunduma, Wilayani Momba mkoani Mbeya. unaweza kuidownload pia hapa hapa...

0 comments:

Chapisha Maoni