Jumatatu, Mei 12, 2014

JAPO KWA UFUPI FAHAMU NI KWANINI NIKKI WA PILI KAFANYA WIMBO 'SITAKI KAZI'

Nikki wa Pili, very soon ata release ngoma yake inayoitwa 'Sitaki Kazi', baada ya kupiga story na Nikki katika special interview na kituo fulani cha redio hapa Bongo, imegundulika kuwa kumbe ni kitu ambacho kimeshawahi kumtokea Nikki wa Pili baada ya kupiga kazi kwa mwaka mmoja kwenye N.G.O flani baadae akaamua kusign out, mpaka leo hataki tena kazi.

0 comments:

Chapisha Maoni