Jumamosi, Mei 10, 2014

HUYU NDIYE BALOZI WA MALAWI HAPA TANZANIA ALIYEFARIKI GHAFLA

Taarifa za kifo cha balozi wa Malawi hapa nchini Tanzania, Flossy Gomile-Chidyaonga, mama huyu ambaye alikuwa akiiwakilisha Malawi nchini hapa Tanzania amefariki dunia baada ya kuugua kwa kipindi kifupi. Alikuwa balozi Tanzania tangu mwaka 2011.
Rais Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Rais wa Malawi Bi. Joyce Banda.

0 comments:

Chapisha Maoni