Jumanne, Machi 04, 2014

LINA AFUNGUKA, HATUMII NA HAPENDI KABISA KUTUMIA KINGA

Nyota wa muziki wa kizazi kipya, Esterlina Sanga ‘Linah’ ametoa mpya baada ya kuibuka na kueleza wazi kuwa, afanyapo mapenzi hapendi kutumia kinga.
Linah alisema hayo wakati akizungumza na Fichuo ambapo amesisitiza kuwa anachukia sana mipira ya kike na kiume wakati wa tendo kwa vile zinamkata stimu.
“Sema naogopa ukimwi na magonjwa mengine ndiyo maana nalazimika kutumia kwa ajili ya afya yangu lakini kiukweli kabisa, sipendi kabisa kinga,” alisema Linah.
Hivi karibuni, nilikupatia story ya staa huyo wa muziki kudungwa mimba na mdosi kabla ya siku chache baadaye kugundulika kuwa, kiumbe chake kilichoropoka.

0 comments:

Chapisha Maoni