Jumamosi, Februari 08, 2014

WEWE NI MMOJA KATI YA WALE WANAOMDIS WEMA SEPETU? HII INAKUHUSU

Vijana Tanzania wamekuwa na nguvu kubwa ya kujiunga na mitandao ya kijamii kama Facebook, Twitter na Instagram na kampuni za mitandao ya simu nazo zimejitaidi sana kupunguza bei ya huduma ya internet ili vijana waweze kuburudika na mitandao hii. Tatizo ni matumizi ya mitandao hii na wanaoathirika na mitandao hii.
Hii sio mara ya kwanza kwa Star Wema Sepetu kulalamika kuhusu matusi kwenye mitandao. Hii Post yake mpya kuhusu tabia hii.
“Hahahahahhaha… mi sikujua kama kutukanana kuna zamu zamu…. I swear to god I jus died…. damn…. anyways…. one thing y’all shud knw kwanza sipendi matusi nd atakaenitukana well I dont give a damn…. huwaga siumizwagi na matusi yoyote maana hayanipunguzii wala kuniongezea chochote in my life….. its a free world, yule anaedhani kwamba kutukana kunampa faraja aendelee…. life goes on…. dah…. Insta bwana

0 comments:

Chapisha Maoni