Mkurugenzi wa kundi la Tip Top Connection Babu Tale lenye wasanii wenye
mafanikio kama madee na tunda man,amefunguka kwamba mistari na sauti
iliyopo kwenye ngoma mpya ya MB Dogg Umenuna iliyotoka wiki iliyopita ni
moja kati ya sababu ya wao kama kampuni ya Tip Top Connection kufanya
kazi na msanii huyo aliyejiengua zaidi ya miaka mitano iliyopita.
0 comments:
Chapisha Maoni