Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiagana na Mama Maria Nyerere, Mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, na wanafamilia alipokwenda nyumbani kwake Msasani kumfariji kufuatia
kifo cha mkwe wake Marehemu Leticia Nyerere huko Maryland, Marekani.




0 comments:
Chapisha Maoni