Jumatatu, Januari 18, 2016

MTI WADONDOKEA NYUMBA NA KUSABABISHA KIFO CHA MWANAMKE PAPO HAPO

Mwanamke mmoja Siwema Alex miaka (36) mkazi wa kata ya Magomeni wilaya Kilosa mkoani wa Morogoro amekufa papo hapo baada ya nyumba yao waliokuwa wakiishi kuangukiwa na mti kufuatia mvua iliyo ambatana na upepo mkali huku mumewe na watoto watatu wakinusurika katika ajali hiyo.

0 comments:

Chapisha Maoni